Menu

Adhkaar (Dua)

 

DUA YA KUSOMWA AKIWA AMESIMAMA KATIKA MLIMA WA SWAFAA NA MARWA

 

Amesema Jaabir radhi za Allah ziwe juu yake, Mtume ﷺ alipokurubia Swafaa alisoma:

[...إِنَّ الصَّفَا والمَرْوَةَ مِنْ شَعائرِ الله]

[Hakika Swafaa na Marwah ni katika alama za kumtukuza Mwenyezi Mungu]

 

[ أَبْدَأُ بِمَا بَدَأَ اللهُ بِهِ ]

[Ninaanza kwa alichoanza Mwenyezi Mungu]

 Akaanza Swafaa akapanda mpaka akaiona Al-Kaabah kisha akaielekea na kusema:

[اللهُ أكْبَرُ, اللهُ أكْبَرُ, اللهُ أكْبَرُ]

[Mwenyezi Mungu ni Mkubwa, Mwenyezi Mungu ni Mkubwa, Mwenyezi Mungu ni Mkubwa]

 kisha atasema yafuatayo mara tatu akomba dua (yoyote apendayo) baada ya kila mara:

لا إِلهَ إلاَّ اللهُ وَحْدَهُ لا شَرِيكَ لَهُ، لَهُ المُلْكُ وَلَهُ الحَمْدُ وهُوَ عَلى كُلِّ شَيءٍ قَديرٌ، لا إِلَهَ إلا اللهُ وَحْدَهُ أَنْجَزَ وَعْدَهُ، وَنَصَرَ عَبْدَهُ وَهَزَمَ الأَحْزَابَ وَحْدَهُ

[Hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi Mungu, hali ya kuwa peke yake, wala hana mshirika wake, ni wake Ufalme nani zake sifa njema naye juu ya kila kitu ni Muweza. Hapana mola apasae kuabudiwa kwahaki ila Mwenyezi Mungu hali ya kuwa peke yake, ametekeleza ahadi yake, na amemnusuru mja wake, na amivishinda vikosi peke yake.]

….. Mtume  alisoma hivi mara tatu na baina yake akiomba dua, kisha akafanya akiwa Marwah kama alivyofanya Swafaa.    [Imepokewa na Muslim.]


DUA YA KUSOMWA AKIWA AMESIMAMA KATIKA MLIMA WA SWAFAA NA MARWA


 

DUA INAYOSOMWA BAINA YA NGUZO YA YEMEN NA HAJAR AL ASWAD (KATIKA AL KAABAH)

 

Alikuwa Mtume  akisema baina yake:

{ رَبَّنَا آتِنَا فِي الدُّنْيَا حَسَنَةً وَفِي الآخِرَةِ حَسَنَةً وَقِنَا عَذَابَ النَّارِ}

[Ewe Mwenyezi Mungu  tupe katika dunia hii wema na katika akhera  wema na utukinge na adhabu ya moto.]     [Imepokewa na Abuu Daud na Ahmad na Al-Baghawiy.]


DUA INAYOSOMWA BAINA YA NGUZO YA YEMEN NA HAJAR AL ASWAD (KATIKA AL KAABAH)


 

 

VIPI ATALETA TALBIYAH ALIYEHIRIMIA KWA HIJJAH NA UMRA

 

[ لبيك اللهم لبيك ، لبيك لا شريك لك لبيك ، إن الحمد والنعمة لك والملك ، لا شريك لك ]

البخاري مع الفتح 3/ 408 ، ومسلم 2/841

[Nimekuitika Ee Allaah nimekuitika, nimekuitika huna mshirika wako nimekuitika, hakika sifa njema na neema na Ufalme ni vyako huna mshrika wako.]    [Imepokewa na Bukhari na Muslim.]


VIPI ATALETA TALBIYAH ALIYEHIRIMIA KWA HIJJAH NA UMRA


 

 

TAKBIRA ATAKAPOFIKA KATIKA HAJARUL AL-ASWAD

 

Mtume alitufu (kuzunguka Al-Kaabah) juu ya ngamia, kila anapofika katika Hajrat-Aswad (Jiwe jeusi) alikuwa anaashiria kwa fimbo yake na kusema:

[اللهُ أكْبَر]

[Mwenyezi Mungu ni Mkubwa]   [Imepokewa na Bukhari.]


TAKBIRA ATAKAPOFIKA KATIKA HAJARUL AL-ASWAD


 

ANACHOSEMA MUISLAMU AKISIFIWA

 

[ اللهم لا تؤاخذني بما يقولون ، واغفر لي مالا يعلمون [واجعلني خيراً مما يظنون ]

 البخاري في الأدب المفرد برقم 761

[Ewe Mwenyezi Mungu usinichukulie kwa yale wanayoyasema na unisamehe kwa yale wasiyoyajua, (na unifanye bora kuliko wanavyonifikiria]    [Imepokewa na Bukhari katika Al-Adabul-Mufrid]


ANACHOSEMA MUISLAMU AKISIFIWA


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575433
TodayToday140
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 10

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68297cca59c7811698938141747549386
title_68297cca59d607211177171747549386
title_68297cca59e526433569381747549386

NISHATI ZA OFISI

title_68297cca5b40f19305692551747549386
title_68297cca5b4f15990564861747549386
title_68297cca5b5df1639903891747549386 Add content here

HUDUMA MPYA

: 11 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com