Menu

الحديث الثالث والثلاثون


Annawawiy1 


 "البينة على المدعي واليمين على من أنكر "

عن ابن عَبَّاسٍ رضي اللُه عنهما: أن رسولَ الله صلى الله عليه وسلم قال: [ لَو يُعْطَى النَّاسُ بِدَعْوَاهُمْ لادَّعَى رِجَالٌ أموالَ قَوْمٍ ودِماءَهُمْ لَكِنِ البَيِّنَةُ على المُدَّعِى والْيَمينُ على من أَنْكَرَ

حَدِيثٌ حَسَنٌ، رَوَاهُ الْبَيْهَقِيّ وَغَيْرُهُ هَكَذَا، وَبَعْضُهُ فِي "الصَّحِيحَيْنِ"


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ مُحَمّد بن صَالِح العُثَيْمِين رحمه الله تعالى



 HADITHI YA 33


JUKUMU LA USHAHIDI LIKO KWA YULE ANAYEDAI

NA KULA KIAPO KUNAMUWAJIBIKIA YULE ANAYEKANA


Kutoka kwa Ibn ‘Abbaas Radhi za Allah ziwe juu yake ambaye amesema kuwa Mtume ﷺ alisema:
[Kama watu wangelipewa kwa mujibu wa madai yao, watu wangelidai mali na damu za wenzao (uhai) lakini jukumu la ushahidi liko kwa yule anayedai na kula kiapo kunawajibika kwa yule anayekana (kuwa hajatenda).]
[Imepokelewa na Al-Bayhaqi na wengineo. Ni Hadithi Hasan.]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6575147
TodayToday3214
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 12

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_682935c1d7b7e18502888901747531201
title_682935c1d805119657883521747531201
title_682935c1ec2ee10721630791747531201

NISHATI ZA OFISI

title_682935c21138d11809053801747531202
title_682935c211eb011035754031747531202
title_682935c212004273017741747531202 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com