Menu

 

KATIKA MAMBO YA KHERI NA ADABU KWA JUMLA

 

Ikiingia jioni (yaani jua linapokuchwa wakati wa magharibi) wazuieni watoto wenu kutoka toka kwani mashetani wanatawanyika nyakati hizo, ikisha pita wakati waacheni.   Na fungeni milango yenu  na mtajeni Mwenyezi Mungu  mnapoifunga, kwani shetani hafungui mlango ulio fungwa.  Na fungeni viriba vyenu vya maji, na mtajeni Mwenyezi Mungu.  Na funikeni vyombo vyenu na mtajeni Mwenyezi Mungu (funikeni) hata kama ni kwa kuwekea kitu ju.  Na zimeni taa zenu.     [Imepokewa na Bukhari na Muslim.]

 

وصلى الله وسلم وبارك على نبينا محمد وعلى آله وأصحابه أجمعين

[Ewe Mwenyezi Mungu mrehemu Muhammad, na wake zake, na kizazi chake, kama ulivyowarehemu jamaa wa Ibrahim. Na mbariki Muhammad, na wake zake, na kizazi chake, kama ulivyowabariki jamaa zake Ibrahim, hakika Wewe Umesifika na Umetukuka.]

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575480
TodayToday187
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 8

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6829882f889389042147841747552303
title_6829882f88a4618989914791747552303
title_6829882f88b4c2959870761747552303

NISHATI ZA OFISI

title_6829882f8a47412538912271747552303
title_6829882f9c0a78771424171747552303
title_6829882f9c1bd13972653941747552303 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com