VIPI ALIKWA MTUME ﷺ AKIMSABBIH MWENYEZI MUNGU
Imepokelewa kutoka kwa Abdalla bin Amru radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake amesema: "Nimemuona Mtume ﷺ anahesabu kumsabbih Allaah kwa mkono wake wakulia. [Imepokewa na Abuu Daud na Al-Ttirmidhiy.]
Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.