Menu

 

UTAJO KATIKA MASH'ARUL HARAAM (MUZDALIFAH)

 

Amesema Jaabir radhi za Allah ziwe juu yake  kwamba ‘Mtume alimpanda Al-Qaswa (jina la ngamia wake) mpaka alipofika Mash’arul Haraam (huko Muzdalifah), kisha akaelekea Qiblah akamuomba Mwenyezi Mungu , akakabbir (akamtukuza), akaleta Tahlil (akamsifu), na akampwekesha. Hakuacha kusimama mpaka kulipopambazuka ndipo alipoondoka kabla ya kutoka jua.     [Imepokewa na Muslim.]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6576084
TodayToday791
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 5

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_682a7e62f16bd14160241651747615330
title_682a7e62f17e58903321661747615330
title_682a7e62f18f816381720941747615330

NISHATI ZA OFISI

title_682a7e630ab809684118851747615331
title_682a7e630ad001252631931747615331
title_682a7e630ae6c9151280781747615331 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com