Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


1. Imesharutishwa katika bendeji au vitata visizidi sehemu inayotakikana kutibu pamoja na sehemu za kandokando yake zinazohitajika kuthibitisha vitu hivi.

2. Haisharutishwi katika kufunga bendeji au vitata awe mtu yuko kwenye twahara, vilevile haisharutishwi muda maalumu, madamu vinahitajika kusalia basi yafaa kupukusa juu yake wakati wakujitwahirisha na tukio kubwa na dogo la ukosefu wa utwahara. Na wakati wowote ule mahitaji yake yameondoka ni lazima kuvivua na kukiosha kiungo husika wakati wa kujitwahirisha.

3. Kuhusu mabendeji na vitata na mfano wahivyo ambavyo ni rahisi kuzirudisha itatazamwa:

a. Ikiwa kuvitoa na kuosha sehemu za chini yake ni sahali bila madhara au kusababisha jaraha kuchelewa kupoa, basi atavitoa aoshe sehemu za chini yake, kisha avirudishe.

b. Iwapo si rahisi kuvitoa na kuosha sehemu za chini yake bila kudhurika au kuchelewa kupoa, atapukusa juu yake wakati wa kuosha kiungo kile ambacho vitu hivyo viko juu yake.


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575129
TodayToday3196
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 6

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_682932331cce03025739241747530291
title_682932331cdc916520682031747530291
title_682932331ceb415912998501747530291

NISHATI ZA OFISI

title_682932331e4b76737236871747530291
title_682932331e59520598263671747530291
title_682932331e67c19928539461747530291 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com