Menu

SOMO LA FIQHI


 somo lafiqhi 


MAANA YA ISTIHADHA

Istihadha: Ni kutiririka damu kutoka kwenye tupu ya mwanamke ikawa haikomi kabisa au ikatike kwa kipindi kichache.

TOFAUTI BAINA YA DAMU YA HEDHI NA YA ISTIHADHA 

DAMU YA ISTIHADHA  DAMU YA HEDHI
Nyekundu nyepesi  Nyeusi nzito
Haina harufu Ina harufu mbaya yenye kuchukiza
Inaganda (inashikana) Haigandi (haishikani)
Inatoka kwenye kishipa cha uzao cha karibu Inatoka mwisho wa uzao
Damu ya kuashiria kasoro, ugonjwa na uharibikaji Damu ya afya na ya kawaida
Haina wakati maalumu

Inatoka wakati maalumu


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575105
TodayToday3172
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 20

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68292b0f75ed810751900591747528463
title_68292b0f7600b21259063911747528463
title_68292b0f761403287344261747528463

NISHATI ZA OFISI

title_68292b0f8aa9a21150998271747528463
title_68292b0f8ac025251154021747528463
title_68292b0f8ad9312677243901747528463 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com