Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Wajibu za Umra
1. Kuhirimia kutoka kwenye mahali palipowekewa kuhirimia,
kwa neno lake Mtume baada ya kutaja sehemu za kuhirimia:

 

هُنَّ لَهُنَّ، وَلِمَنْ أَتَى عَلَيْهِنَّ مِنْ غَيْرِهِنَّ مِمَّنْ أَرَادَ الْحَجَّ وَالْعُمْرَ]   رواه البخاري]

 

[Sehemu hizo zimewekewa watu wa hapo na wasiokuwa watu wa hapo kati ya wale wanaofika hapo miongoni mwa wanaotaka kuhiji au kufanya Umra]   [Imepokewa na Bukhari.]

2. Kunyoa au kupunguza,
kwa neno la Mwenyezi Mungu Aliyetukuka:

 

لَتَدۡخُلُنَّ ٱلۡمَسۡجِدَ ٱلۡحَرَامَ إِن شَآءَ ٱللَّهُ ءَامِنِينَ مُحَلِّقِينَ رُءُوسَكُمۡ وَمُقَصِّرِينَ}   الفتح: 27}

 

[Mtaingia Msikiti wa Haram mkiwa katika amani apendapo Mwenyezi Mungu, hali ya ya kunyoa vichwa vyenu na kupunguza]   [48: 27].

Sunna za Umra
Sizokuwa nguzo na wajibu ni sunna.

-Matanabahisho

1. Mwenye kuacha nguzo moja miongoni mwa nguzo za Umra, ibada yake ya Umra haitatimia mpaka ailete.

2. Mweye kuacha tendo moja la wajibu miongoni mwa wajibu za Umra, itamlazimu achinje mnyama (mbuzi au kondoo, au fungu moja kati ya mafungo saba ya ngombe au ngamia.

3. Mwenye kuacha sunna ya umra haimlazimu chochote, na umra yake ni sahihi.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575153
TodayToday3220
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 6

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_682935c1d7b7e18502888901747531201
title_682935c1d805119657883521747531201
title_682935c1ec2ee10721630791747531201

NISHATI ZA OFISI

title_682935c21138d11809053801747531202
title_682935c211eb011035754031747531202
title_682935c212004273017741747531202 Add content here

HUDUMA MPYA

: 11 + 10 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com