Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Nguzo za Umra
1. Kuhirimia:
kwa kauli ya Mtume :

 

[إِنَّمَا الْأَعْمَالُ بِالنِّيَّاتِ، وَإِنَّمَا لِكُلِّ امْرِئٍ مَا نَوَى ]   [رواه البخاري]

 

[Hakika matendo yanazingatiwa kwa nia, na hakika ni kwamba kila mtu atapata lile alilonuilia]   [Imepokewa na Bukhari.]

2. Kusai baina ya Swafaa na Marwah:
kwa kauli ya Mtume :

[اسْعَوْا؛ فَإِنَّ الله كَتَبَ عَلَيْكُمْ السَّعْيَ]    [رواه أحمد] 

 

[Fanyeni Sai, kwa kuwa Mwenyezi Mungu Amewafaradhia kusai]   [Imepokewa na Ahmad.]

3. Alkaaba:
kwa neno la Mwenyezi Mungu Aliyetukuka:

 

 وَلۡيَطَّوَّفُواْ بِٱلۡبَيۡتِ ٱلۡعَتِيقِ}   الحج: 29}

 

[Na waitufu Nyumba ya Zamani]   [22: 29]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575123
TodayToday3190
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 10

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68292eacd3e0f3800299341747529388
title_68292eacd3f6e7411854271747529388
title_68292eacd410116770196831747529388

NISHATI ZA OFISI

title_68292eacd62bc9194100731747529388
title_68292eacd641115363953591747529388
title_68292eacd65559595469331747529388 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com