SOMO LA FIQHI
Nguzo za Umra
1. Kuhirimia:
kwa kauli ya Mtume ﷺ:
[إِنَّمَا الْأَعْمَالُ بِالنِّيَّاتِ، وَإِنَّمَا لِكُلِّ امْرِئٍ مَا نَوَى ] [رواه البخاري]
[Hakika matendo yanazingatiwa kwa nia, na hakika ni kwamba kila mtu atapata lile alilonuilia] [Imepokewa na Bukhari.]
2. Kusai baina ya Swafaa na Marwah:
kwa kauli ya Mtume ﷺ:
[اسْعَوْا؛ فَإِنَّ الله كَتَبَ عَلَيْكُمْ السَّعْيَ] [رواه أحمد]
[Fanyeni Sai, kwa kuwa Mwenyezi Mungu Amewafaradhia kusai] [Imepokewa na Ahmad.]
3. Alkaaba:
kwa neno la Mwenyezi Mungu Aliyetukuka:
وَلۡيَطَّوَّفُواْ بِٱلۡبَيۡتِ ٱلۡعَتِيقِ} الحج: 29}
[Na waitufu Nyumba ya Zamani] [22: 29]
Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.