Menu

SOMO LA FIQHI


 somo lafiqhi


Tafauti ilioko kati ya Aina Tatu ya Ibada ya hija

Tamattu Qiraan Ifraad
Anahirimia mara mbili, ya kwanza kwa ajili ya ‘Umra kisha atahalalika baada ya hapo, kisha anahirimia kwa ajili ya Hijja Atahirim hijja na umra kwa pamoja Atahirimia hija mara moja pekeyake
Anapohirimia kwa ajili ya Hijja anasema: “Nimekuitikia ewe Mola wangu Hijja” au anasema: “Nimekuitikia ewe Mola wangu ‘Umra na nitapumzika kwayo hadi Hijja” Atasema wakati wa kuhirimia (Naitikikia umra na hijja) Atasema wakati wa kuhirimia (Naitikia hijja)
Inawajibika kuchinja Inawajibika kuchinja Hawajibiki kuchinja
Kuna twawafu mbili, ya kwanza kwa ajili ya ‘Umra na ya pili kwa ajili ya Hijja Inalazimu twawafu moja nayo ni twawafu ya hajji Inalazimu twawafu moja nayo ni twawafu ya hajji
Kuna sai’ mbili, ya kwanza kwa ajili ya ‘umra na ya pili kwa ajili ya Hijja Ina sai moja peke nayo ni sai ya hijja Ina sai moja peke nayo ni sai ya hijja

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575097
TodayToday3164
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 9

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68292b0f75ed810751900591747528463
title_68292b0f7600b21259063911747528463
title_68292b0f761403287344261747528463

NISHATI ZA OFISI

title_68292b0f8aa9a21150998271747528463
title_68292b0f8ac025251154021747528463
title_68292b0f8ad9312677243901747528463 Add content here

HUDUMA MPYA

: 9 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com