Menu

 

 

NI LAZIMA APATIKANE SHAHIDI KWA ANAETAKA KUSILIMU?

 

SUALI: Je? Mtu anapotaka kusilimu huwa ni lazima ashuhudishe watu ?

JAWABU: Si lazima kwa mtu anapotaka kusilimu kuweka mashahidi juu ya kusilimu kwake,kwani mtu kusilimu huwa ni mafungamano kati ya mja na mola wake. Kwa hivyo huwa si lazima kushuhudisha watu. Na mwenyewe ataka kufanya hivyo kwa ajili ya kubadilisha stakabdhi zake hakuna ubaya wa kufanya hivyo.

 

Na Allah ndie Mjuzi zaidi.

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575396
TodayToday103
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 7

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68297532af4102833445941747547442
title_68297532af4fa1145341371747547442
title_68297532af5db11216794871747547442

NISHATI ZA OFISI

title_68297532b0bd113682418491747547442
title_68297532b0cb75085649641747547442
title_68297532b0d9e20548923851747547442 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 5 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com