Menu

JE YAFAA KWA MWANAMKE ALIE KWENYE HEDHI KUOSHA MAITI?


Hakuna aya wala Hadithi inayomkata Mwanamke alie kwenye Hedhi kuosha Maiti,au kuhudhuria anapooshwa Maiti,wala hatujui Hadithi kutoka kwa Bwana Mtume  kuhusu jambo hili,wala hatuji yoyote katika Wanachuoni walioharamisha jambo ilo isipokuwa imepokewa kwa baadhi ya wema waliotangulia kama Hasan Al Basari na Ibnu Siriin wamechukia jambo hilo,kama alivyo pokea Ibnu Abii Shayba katika Muswannaf yake


Chanzo: islamweb.net


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575484
TodayToday191
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 8

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6829882f889389042147841747552303
title_6829882f88a4618989914791747552303
title_6829882f88b4c2959870761747552303

NISHATI ZA OFISI

title_6829882f8a47412538912271747552303
title_6829882f9c0a78771424171747552303
title_6829882f9c1bd13972653941747552303 Add content here

HUDUMA MPYA

: 3 + 10 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com