Menu

KUPASULIWA KIFUA CHA MTUME ﷺ


kupasuliwa1 


Imamu Muslim amepokea kutoka kwa Anas radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu kuwa

 

عن أنس بن مالك رضي الله تعالى عنه أن النبي صلى ‏الله عليه وسلم أتاه جبريل وهو يلعب مع الغلمان فأخذه فصرعه فشق عن قلبه فاستخرج ‏القلب فاستخرج منه علقة فقال: هذا حظ الشيطان منك ثم غسله في طست من ذهب ‏بماء زمزم ثم لأمه ثم أعاده في مكانه، وجاء الغلمان يسعون إلى أمه - يعني ظئيره- فقالوا إن ‏محمداً قد قتل. فاستقبلوه وهو منتقع اللون. قال أنس: أرى أثر المخيط في صدره

 

[jibril alimwendea Mjumbe wa Mwenyezi Mungu ﷺ hali ya kuwa anacheza pamoja na Watoto Wengine, akamchukua ma kumlaza chali, kisha akakipasua'kifua chake na akautoa moyo,katika huo moya akatoa pande la damu °na kusema: 'Hili ni fungu la shetarii kwako.' Kisha akauosha kutokakatika tasa la dhahabu kwa maji ya Zamzam, akaufunga na kuurudisha mahali pake.: wakatoka watoto wakiwa wanakwenda mbio kwa mama yake - mlezi wake - wakamwambia: 'Hakika Muhammad ameuwawa; mara akatokea, wakampokea na hali ya kuwa amebadilika rangi.

Asema Anas nikiona athari ya mshono katika kifua chake.


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575394
TodayToday101
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 11

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68297532af4102833445941747547442
title_68297532af4fa1145341371747547442
title_68297532af5db11216794871747547442

NISHATI ZA OFISI

title_68297532b0bd113682418491747547442
title_68297532b0cb75085649641747547442
title_68297532b0d9e20548923851747547442 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 13 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com