Menu

HUKMU YA KUITIKIA SALAMU KATIKA SEHEMU ZA KUTAWADHIA ZILO KARIBIANA NA CHOO


Swali: Ni ipi hukumu ya kumsalimia mtu akiwa katika sehemu ya kutawadhia ambapo pako karibu na choo?

Jibu: Choo ni sehemu iliokusudiwa kukidhia haja. Kwa sababu ni sehemu mtu anakuwa peke yake na haonekaniwi na watu. Lakini akiwa kandoka yuko sehemu ya kutawadhia basi yafaa kuitikia salamu wala haihisabiwi kuwa yuko chooni hata kama choo kiko karibu na yeye. Vile vile yuwafaa kutoa salamu na kupiga Bismallahi wakati wa kutawadha.

Na Allah ndie mjuzi zaidi.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6574722
TodayToday2789
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 14

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6828ff708ccaf18566864131747517296
title_6828ff708cd9d2685109901747517296
title_6828ff708ce7e10217083621747517296

NISHATI ZA OFISI

title_6828ff708e44411776653511747517296
title_6828ff708e5209465894791747517296
title_6828ff708e5f720084573761747517296 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 10 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com