Menu

MASHARTI YA KUPUNGUZA SWALA


 

Suali: Ni yapi Masharti ya kupunguza Swala ? Na kupunguza Swala inaisha mda gani ?

Jawabu: Ama baada ya kumshukuru na kumhimidi Mwenyezi Mungu na kumswalia Mtume Muhammad rehma na amani ziwe juu yake :
Ni sharti kwa mtu anaetaka kupunguza Swala: awe mtu huyo ni msafiri ambae safari yake ya kwenda inafika kiwango cha kupunguza Swala nayo ni Burd nne ambayo ni sawa na kilo mita Themanini na tatu (83) takriban. Na iwe safari yake ni kwa ajili ya kumtii Mwenyezi Mungu au jambo la halali.

Na kupunguza Swala kunaisha kwa mtu kufika katika Nchi yake au Mji wake , au katika sehemu ambayo kuna mke wake ambae ameshamuingilia, au kwa nia ya kukaa siku Nne na zaidi. Na Swala zinazopunguzwa ni Swala zenye rakaa Nnne peke yake, ambazo ni Adhuhuri, Al Asiri, na Ishaa.
Na ALLAH ndie mjuzi zaidi


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6574718
TodayToday2785
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 18

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6828ff708ccaf18566864131747517296
title_6828ff708cd9d2685109901747517296
title_6828ff708ce7e10217083621747517296

NISHATI ZA OFISI

title_6828ff708e44411776653511747517296
title_6828ff708e5209465894791747517296
title_6828ff708e5f720084573761747517296 Add content here

HUDUMA MPYA

: 4 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com