Menu

الحديث التاسع والثلاثون


Annawawiy1 


 "إن الله تجاوز لي عن أمتي الخطأ والنسيان"

[عَن ابْنِ عَبَّاسِ رَضِيَ الله عَنْهُما: أن رَسُوَل اللهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ : [إنَّ الله تَجاوَزَ لِي عَنْ أُمَّتي: الْخَطَأَ، والنِّسْياَنَ، وَمَا اسْتُكْرِهُوا عَلَيْهِ
حَدِيثٌ حَسَنٌ، رَوَاهُ ابْنُ مَاجَهْ وَالْبَيْهَقِيّ وَغيرهما


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ مُحَمّد بن صَالِح العُثَيْمِين رحمه الله تعالى



 HADITHI YA 39


KUSAMEHEWA KWA KUSAHAU


Kutoka kwa Ibn ‘Abbaas ambaye amesema kwamba Mtume kasema:

[Mwenyezi mungu Amewasamehe kwa ajili yangu umma wangu kwa kukosea, kusahau, na yale wanayoyafanya kwa kulazimishwa kwa nguvu (ambayo hawana khiyari nayo)]
[Imepokelewa na Ibn Maajah na Al-Bayhaqi]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6575181
TodayToday3248
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 19

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_682939484375715719876871747532104
title_68293948438c914547477721747532104
title_6829394843a2f8419295901747532104

NISHATI ZA OFISI

title_68293948456558188777361747532104
title_682939484575b8092622691747532104
title_682939484585110958426321747532104 Add content here

HUDUMA MPYA

: 7 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com