Menu

الحديث السادس والثلاثون


Annawawiy1 


"من نفس عن مسلم كربة"
عن أبي هُرَيْرَة رضي اللهُ عنه، عن النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قال: [ مَنْ نَفَّسَ عَنْ مُؤمِنٍ كُرْبَةً مِنْ كُرَبِ الدُّنْيا نَفَّسَ اللهُ عَنْهُ كُرْبَةً من كُرَبِ يوْمِ القيامَةِ، ومَنْ يَسَّرَ على مُعْسِرٍ يَسَّرَ اللهُ عليه في الدنْيا والآخِرَةِ، وَمَنْ سَتَرَ مُسْلِماً سَتَرَهُ الله في الدُّنْيا والآخِرَةِ واللهُ في عَوْنِ الْعَبْدِ ما كانَ الْعَبْدُ في عَونِ أخيهِ. ومَنْ سلك طَريقاً يَلْتَمِسُ فِيهِ عِلْماً سَهَّلَ اللهُ له بِهِ طَرِيقاً إلى الجنَّةِ

وَمَا اجتَمَعَ قَوْمٌ في بَيْتٍ مِنْ بُيُوتِ اللهِ يَتْلُونَ كِتَابَ اللهِ ويَتَدَارَسُونَهُ بَيْنَهُمْ، إلا نَزَلَتْ عليهمُ السَّكِينَةُ، وغَشِيَتْهُمُ الرَّحْمَةُ، وحَفَّتهُمُ المَلائِكَةُ، وذَكَرَهُمُ اللهُ فيمَنْ عِنْدَه  وَمَنْ بَطَّأ بِه عَمَلُهُ لمْ يُسْرِعْ به نَسَبُهُ

رَوَاهُ مُسْلِمٌ بهذا اللفظ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ مُحَمّد بن صَالِح العُثَيْمِين رحمه الله تعالى



HADITHI YA 36


ATAKAYEMUONDOSHEA SHIDA MUISLAMU MWENZAKE,

ALLAH ATAMUONDOSHEA SHIDA ZAKE


Kutoka kwa Abu Hurayra Radhi za Allah ziwe juu yake ambaye amesema kwamba Mtume  kasema: 

[Yeyote atakaemuondoshea shida ya kidunia Muislamu mwenzake, Allaah Atamuondoshea moja katika shida za siku ya Kiyama.
Yeyote yule anaemsaidia muhitaji (maskini) Allaah Atamsaidia haja zake hapa duniani na akhera. Yeyote yule anayemsitiri Muislamu, Allaah Atamsitiri hapa duniani na akhera.
Mwenyeezi Mungu humsaidia mja wake wakati wote mja anapomsaidia nduguye (Muislamu). Yeyote yule anayekamata njia kutafuta elimu, Allaah Atamrahisishia njia ya peponi. Hawakutaniki watu katika nyumba ya Mwenyeezi Mungu wakisoma kitabu cha Mwenyeezi Mungu na wakasomeshana pamoja ila watashukiwa na utulivu (sakina) na kheri. Rehema (za Allah) huwafunika na Malaika huwazunguka na Allaah Huwakumbuka kwa wale walioko pamoja Nae. Yeyote yule anayeakhirishwa (anayecheleweshwa) na vitendo vyake (kwenda peponi) hatoharakishwa na Nasab yake.]
[Imepokelewa na Muslim]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6575191
TodayToday3258
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 5

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68293cce8f5ba6668875031747533006
title_68293cce8f67b11288179001747533006
title_68293cce8f75b20377165391747533006

NISHATI ZA OFISI

title_68293cce90d447505292931747533006
title_68293cce90e2c20874848111747533006
title_68293cce90f075659440761747533006 Add content here

HUDUMA MPYA

: 8 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com