Menu

الحديث الثلاثون


Annawawiy1


 "إن الله تعالى فرض فرائض فلا تضيعوها"

عَنْ أَبيِ ثَعْلَبَةَ الخُشَنِيِّ جُرْثُومِ بْن نَاشرٍ رضي الله عنه عَنْ رَسُولِ اللهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ
[ إنّ اللهَ تَعَالى فَرَضَ فَرَائِضَ فَلاَ تُضَيّعوهاَ وَحَدَّ حُدُودَاً فَلاتَعْتَدُوهَا وَحَرّمَ أَشْياءَ فَلاَتَنْتَهِكُوهَا وَسَكَتَ عَنْ أَشْيَاءَ رَحْمَةً لَكُمْ غَيْرَ نِسْيانٍ فَلا تَبْحَثُوا عَنْهَا]
حَدِيثٌ حَسَنٌ، رَوَاهُ الدَّارَقُطْنِيّ وَغَيْرُهُ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ مُحَمّد بن صَالِح العُثَيْمِين رحمه الله تعالى



HADITHI YA 30


KUSIMAMA KATIKA MIPAKA YA MWENYEZI MUNGU


Kutoka kwa Abu Tha'alaba Al-Khushani Jurthuum Ibn Naashib Radhi za Allah ziwe juu yake naye kapokea kwa Mtume ﷺ

[Mwenyezi Mungu amefaridhisha mambo ya dini kwa hivyo usiyapuuze. Vile vile kaweka mipaka usiikiuke. Amekataza baadhi ya mambo kwa hivyo usifanye. Yale aliyoyanyamazia ni kwa ajili ya huruma zake kwako wala hakusahau kwa hivyo usiyadadisi.]
[Imepokelewa na Daaraqutni na wengineo . Hadithi Hasan]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6575197
TodayToday3264
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 17

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68293cce8f5ba6668875031747533006
title_68293cce8f67b11288179001747533006
title_68293cce8f75b20377165391747533006

NISHATI ZA OFISI

title_68293cce90d447505292931747533006
title_68293cce90e2c20874848111747533006
title_68293cce90f075659440761747533006 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com