Menu

الحديث الثامن


 Annawawiy1


“أمرت أن أقاتل الناس”

عن ابنِ عُمَرَ رضي الله عنهما أنَّ رسُوَل الله صلى الله عليه وسلم قال: [أُمِرْتُ أَنْ أُقاتِلَ النَّاسَ حتَّى يَشْهَدُوا أنْ لا إلَهَ إلاَّ اللهُ وأنَّ محمداً رسوُل اللهِ، ويُقِيمُوا الصَّلاَةَ، ويُؤتُوا الزَّكاةَ، فإذا فَعَلوا ذَلِكَ عَصَموا منِّي دِماءَهُمْ وأمْوَالَهُمْ إلا بِحَقِّ الإِسْلامِ، وحِسابُهُم على اللهِ تعالى

رَوَاهُ الْبُخَارِيُّ وَمُسْلِمٌ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ مُحَمّد بن صَالِح العُثَيْمِين رحمه الله تعالى



HADITHI YA 8


NIMEAMRISHWA NIPIGANE NA WATU


Kutoka kwa Ibn ‘Umar Radhi za Allah ziwe juu yake ambaye alisema kuwa Mtume Rehma na amani zimfikie yeye kasema :

[Nimeamrishwa nipigane na watu mpaka washahadie kuwa hakuna Mungu ispokuwa Allaah alie tukuka na Muhammad ni Mjumbe wa Allaah Subhanahu Wata'ala na mpaka watakaposwali, na wakatoa zaka, na wakifanya hivyo, watakuwa wamepata himaya kwangu ya damu yao, na mali yao isipokuwa kwa haki ya Uislamu. Na hesabu yao itakuwa kwa Mwenyezi Mungu alie tukuka.]

[Imepokelewa na Al-Bukhari na Muslim]


Sikiliza sherehe ya hadithi hii na Sheikh Mahamad Rajab



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6575189
TodayToday3256
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 5

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_682939484375715719876871747532104
title_68293948438c914547477721747532104
title_6829394843a2f8419295901747532104

NISHATI ZA OFISI

title_68293948456558188777361747532104
title_682939484575b8092622691747532104
title_682939484585110958426321747532104 Add content here

HUDUMA MPYA

: 9 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com