VIPI ALIKWA MTUME ﷺ AKIMSABBIH MWENYEZI MUNGU

 

Imepokelewa kutoka kwa Abdalla bin Amru radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake amesema: "Nimemuona Mtume  anahesabu kumsabbih Allaah kwa mkono wake wakulia.   [Imepokewa na Abuu Daud na Al-Ttirmidhiy.]


 

comments