KINACHOSEMWA WAKATI WA MFAZAIKO
[لا إله إلا الله]
[Hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi Mungu.] [Imepokewa na Bukhari na Muslim.]
KINACHOSEMWA WAKATI WA MFAZAIKO
Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.