ANACHOSEMA NA KUFANYA ANAPOSIKIA MAUMIVU
Weka mkono wako juu ya sehemu inayokuuma na kisha useme :
[بِسْمِ اللهِ]
[Kwa jina la Mwenyezi Mungu] (mara tatu)
Kisha usema mara saba:
[أَعُوذُ باللهِ وَقُدْرَتِهِ مَنْ شَرِّ مَا أَجِدُ وَأُحَاذِرُ]
[Najilinda kwa Mwenyezi Mungu na kwa uwezo wake kutokana na shari ya ninachokisikia na ninachokiogopa.] [Imeokewa na Muslim.]
ANACHOSEMA NA KUFANYA ANAPOSIKIA MAUMIVU