ANACHOSEMA NA KUFANYA ANAPOSIKIA MAUMIVU


 MAUMIVU


Weka mkono wako juu ya sehemu inayokuuma na kisha useme :

 

[بِسْمِ اللهِ]

 

[Kwa jina la Mwenyezi Mungu]   (mara tatu)

Kisha usema mara saba:

 

[أَعُوذُ باللهِ وَقُدْرَتِهِ مَنْ شَرِّ مَا أَجِدُ وَأُحَاذِرُ]

 

[Najilinda kwa Mwenyezi Mungu na kwa uwezo wake kutokana na shari ya ninachokisikia na ninachokiogopa.]    [Imeokewa na Muslim.]


ANACHOSEMA NA KUFANYA ANAPOSIKIA MAUMIVU


 


 

comments