TAKBIRA ATAKAPOFIKA KATIKA HAJARUL AL-ASWAD

 

Mtume alitufu (kuzunguka Al-Kaabah) juu ya ngamia, kila anapofika katika Hajrat-Aswad (Jiwe jeusi) alikuwa anaashiria kwa fimbo yake na kusema:

[اللهُ أكْبَر]

[Mwenyezi Mungu ni Mkubwa]   [Imepokewa na Bukhari.]


TAKBIRA ATAKAPOFIKA KATIKA HAJARUL AL-ASWAD


comments