KINGA YA MUISLAMU
[ بسم الله وعلى سُنة رسول الله ]
أبو داود 3/314بسند صحيح وأحمد
[Kwa jina la Mwenyezi Mungu, na kwa mwenendo wa Mtume wa Mwenyezi Mungu.] [Imepokewa na Abuu Daud na Ahmad.]
DUA YA KUMUINGIZA MAITI NDANI YA KABURI