Menu

KINGA YA MUISLAMU


 Mgonjwa1


Alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu anapoingia kumzuru mgonjwa  akimwambia

 

[ لا بأس طهور إن شاء الله ]

 

[Hakuna neno, (ugonjwa) ni kusafishwa (na madhambi) anapopenda Mwenyezi Mungu. ]    [Imepokewa na Bukhari.]  

Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu : Hapana mja yeyote muislamu anaemtembelea mjongwa ambae wakati wake wa kufa bado haujafika na akamuombea mara saba

 

[ أسأل الله العظيم رب العرش العظيم أن يشفيك ]

 

[Namuomba Mwenyezi Mungu  Mtukufu Mola wa Arshi tukufu (akuponyeshe)]

Isipokuwa Mwenyezi Mungu  humponyesha mgonjwa huyo.   [Imepokewa na Al-Ttirmidhiy na Abuu Daud.]


DUA YA KUMTEMBELEA MGONJWA


 


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575701
TodayToday408
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 6

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6829d504e638b12877275861747571972
title_6829d504e64834437138111747571972
title_6829d504e656420992640451747571972

NISHATI ZA OFISI

title_6829d504e7c1314838969841747571972
title_6829d504e7cf44771173911747571972
title_6829d504e7dd26780672471747571972 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com