KINGA YA MUISLAMU


DUA YA MSIKITI


 

[ أعوذ بالله العظيم ،وبوجهه الكريم ،وسلطانه القديم ،من الشيطان الرجيم ]

أبو داود وانظر صحيح الجامع برقم 4591 

[Najilinda na Mwenyezi Mungu  Aliye Mtukufu, na kwa uso wake, mtakatifu, na kwa utawala Wake wa kale, kutokana na shetani aliyeepushwa na rehma za Mwenyezi Mungu.]     [Imepokewa na Abuu Daud]

 

             [  بسم الله ، والصلاة  والسلام على رسول الله ، اللهم افتح لي أبواب رحمتك ]      

 رواه أبوداود وإبن السني

[Kwa ina la Mwenyezi Mungu, na rehma Na amani zimfikie Mtume wa Mwenyezi Mungu, Ewe Mwenyezi Mungu  nifungulie milango ya rehma zako.]         [Imepokewa na Abuu Daud na Ibnu Sunniy]


SIKILIZA DUA YA KUINGIA MSIKITINI



comments