Menu

KITAAB AT-TAWHIID


kitab altawheed


باب (12) من الشرك: الاستعاذة بغير الله

وقول الله تعالى: {وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِنَ الْأِنْسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقاً} سورة الجن: 6

وعن خولة بنت حكيم قالت: سمعت رسول الله صلى الله عليه وسلم يقول: [من نزل منْزلا فقال: أعوذ بكلمات الله التامات من شر ما خلق، لم يضره شيء حتى يرحل من منْزله ذلك]     رواه مسلم
:فيه مسائل
الأولي: تفسير آية الجن
الثانية: كونه من الشرك
الثالثة: الاستدلال على ذلك بالحديث، لأن العلماء يستدلون به على أن كلمات الله غير مخلوقة. قالوا: لأن الاستعاذة بالمخلوق شرك
الرابعة: فضيلة هذا الدعاء مع اختصاره
الخامسة: أن كون الشيء يحصل به منفعة دنيوية، من كف شر أو جلب نفع، لا يدل على أنه ليس من الشرك


MLANGO WA 12 NI KATIKA USHIRIKINA KUOMBA KINGA KWA ASIYEKUWA MWENYEZI MUNGU 


Na kauli ya Mwenyezi Mungu:

[Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi.]  [Surat Al-Jinn: 6]

Imepokelewa kutoka kwa Khawlah bint Hakiym (Radhi za Allah ziwe juu yake) Amesema: Nimemsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ akisema: [Atakayefikia mahali kisha akasema: A’uwdhu bikalimati-LLaahit-taammati min sharri maa Khalaq' "Najilinda kwa maneno ya Mwenyezi Mungu yaliyotimia na shari ya Alichokiumba" hakuna kitakachomdhuru hadi atakapoondoka mahali pake hapo]    [Imepokewa naMuslim]

Masuala Muhimu Yaliyomo:

1. Tafsiri ya Aya katika Suwratul-Jinn.

2. Kuwa Kuomba ulinzi kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu  ni shirki.

3. Kutolea ushuhuda juu ya hilo kwa Hadithi, kwa sababu Wanachuoni wanathibitisha kuwa maneno ya Mwenyezi Mungu Mtukufu (yaani Qur’aan) kwa sababu kujikinga na Viumbe ni shirki.

4. Fadhila ya Du’a hii japokuwa ni fupi.

5. Kupata Manufaa ya kiduna Juu ya kitu, kama kuzuia Madhara au kupata Manufaa, hilo Halimanishi kuwa jamabo hilo si shirki.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6575051
TodayToday3118
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 15

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_682923fb131cb18966383611747526651
title_682923fb1332c891753561747526651
title_682923fb1347618078294381747526651

NISHATI ZA OFISI

title_682923fb156ff11800875451747526651
title_682923fb1584d704645831747526651
title_682923fb159927282378861747526651 Add content here

HUDUMA MPYA

: 4 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com