Menu

SOMO LA FIQHI YA KUAMILIANA


somo lafiqhi


Suala la pili:  Nguzo za kuuza na kununuwa.

Nguzo za kuuza na kununuwa ni tatu

1) Muuzaji na Mnunuzi

2) Bidhaa

3) Kauli kutoka kwa Muuzaji (Ijaab) na Mnunuzi (Qabul) mfano aseme Muuzaji: Nimeuza. Naye Mnunuzi aseme nimenunua.

Mbali na hayo, kuna Kauli ya vitendo mfano wake; Mnunuzi apeane pesa kwa Muuzaji naye apeane bidhaa pasi na mazungumzo kati yao.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6575196
TodayToday3263
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 16

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68293cce8f5ba6668875031747533006
title_68293cce8f67b11288179001747533006
title_68293cce8f75b20377165391747533006

NISHATI ZA OFISI

title_68293cce90d447505292931747533006
title_68293cce90e2c20874848111747533006
title_68293cce90f075659440761747533006 Add content here

HUDUMA MPYA

: 10 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com