Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


HIKMA YA KUTOA ZAKA YA FITRI.

1. Kumsafisha aliyefunga kutokana na mambo ya upuzi na uchafu, kama ilivyopokewa kutoka kwa Ibn Abbas asema:

فرض رسول الله صلى الله عليه وسلم زكاة الفطر طهرة للصائم من اللغو والرفث، وطعمة للمساكين]    رواه أبوداود]

 

[Amefaradhisha Mtume ﷺ Zaka ya Fitri kwa aliyefunga ili kumsafisha kutokana na upuzi na uchafu na ni chakula cha masikini]    [Imepokewa na Abu Daud.].

Na hii ni kwamba aliyefunga mara nyingi haepukani na michezo, na maneno ya upuzi, na mambo yasiyo na faida katika maneno, basi ikawa hii Zaka inamsafisha aliyefunga kwa aliyoyafanya katika matamshi haya yaliyoharamishwa, au yaliyochukizwa kufanywa, ambayo kwamba yanapunguza thawabu za matendo, na kuharibu saumu.

2. Masikini na mafakiri kupata nafasi nzuri ya kimahitaji siku ya Idd ili kuepukana na kuomba ambako kuna udhalilifu na unyonge siku ya Idd, jambo hili (Zaka fitri) litawafanya wawe na furaha na bashasha, ili washirikiane na watu wengine katika kufurahia Idd.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575432
TodayToday139
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 10

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68297cca59c7811698938141747549386
title_68297cca59d607211177171747549386
title_68297cca59e526433569381747549386

NISHATI ZA OFISI

title_68297cca5b40f19305692551747549386
title_68297cca5b4f15990564861747549386
title_68297cca5b5df1639903891747549386 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com