Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


WAKATI WA KUTOLEWA ZAKA 

Wakati bora wa kutoa zaka za fitri ni kutoa siku ya idd baada ya kutokeza kwa alfajiri na kabla ya swala ya Idd, na yaruhusiwa kutanguliza kuitoa kwa siku moja au siku mbili kabla siku ya Idd; kwa utkelazaji wa maswahaba. Wala haifai kuichelewesha hadi baada ya swala ya Idd, kwa Hadith ya Ibn Umar radhi za Allah ziwe juu yake kwamba Mtume 

 

[أن النبي صلى الله عليه وسلم أمر بزكاة الفطر أن تؤدى قبل خروج الناس إلى الصلاة]

 

[Ameamrisha Zaka za Fitri na zitolewe kabla ya watu kutoka kuswali (Iddi)]

Na katika Hadith ya Ibn Abbas Radhi za Allah ziwe juu yake: Amesema Mtume

 

من أداها قبل الصلاة فهي زكاة مقبولة، ومن أداها بعد الصلاة فهي صدقة من الصدقات]     رواه أبوداود]

 

[Atakayeitoa kabla ya swala basi ni Zaka inayokubaliwa, na atakayeitoa baada ya swala basi ni sadaka miongoni mwa sadaka]    [Imepokelewa na abi daud.]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575438
TodayToday145
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 9

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68297cca59c7811698938141747549386
title_68297cca59d607211177171747549386
title_68297cca59e526433569381747549386

NISHATI ZA OFISI

title_68297cca5b40f19305692551747549386
title_68297cca5b4f15990564861747549386
title_68297cca5b5df1639903891747549386 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com