Menu

SOMO LA FIQHI


 somo lafiqhi


Suala: Ni yapi Masharti ya kutawadha?

Jawabu: Masharti ya kutawadha ni kama yafuatavyo

1. Maji yawe twahara.

2. Maji yawe yafaa kutumiwa, yasiwe ya kuiba, kwa mfano.

3. Kuondoa chochote chenye kuzuia maji kufika kwenye ugozi, kama vile mafuta ya mshumaa na mfano wake.

4. Kumaliza na kukatika kinacho sababisha kutawadha, kwa mfano mtu kutawadha na huku bado hajamaliza kukidhi haja yake.

5. Kukatika kwa damu ya Hedhi na Nifasi kwa Mwanamke, lau atatawadha mwanamke mwenye Hedhi au Nifasi basi Udhu wake hautasihi.

6. Kuingia kwa wakati kwa mtu mwenye Hadathi ya daima kama mwenye ugonjwa wa kutokwa na mikojo au Mwanamke mwenye damu ya Istihadha (Damu ya ugonjwa).


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575071
TodayToday3138
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 8

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_682927821776c562094561747527554
title_68292782178568607291911747527554
title_682927821794721454191621747527554

NISHATI ZA OFISI

title_6829278218f46561391971747527554
title_682927821903618003030801747527554
title_68292782191173186941631747527554 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com