Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi 


1. Kufanya jambo linalo pingana na sharti miongoni mwa sharti za swala kama kufanya jambo lenye kutenguwa twahara, au kukusudia kufunguwa uchi, au Kuzunguka upande wakibla, kwa mwili wake, au kuvunja nia

2. kukusudia kuacha nguzo au wajibu wa swala.

3. kujishughulisha na vitendo vingi kwa kitendo nje ya swala bila ya dharura kama kutembea na haraka nyingi

4. Kucheka na kujikohoza

5. Kuzungumza ndani ya Swala kwa kusudi

6. Kula na kunywa kwa kusudi.

7. Kuzidisha Rakaa au Nguzo kusudi

8. Maamuma kutoa salamu kabla ya imamu wake


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575058
TodayToday3125
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 11

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_682923fb131cb18966383611747526651
title_682923fb1332c891753561747526651
title_682923fb1347618078294381747526651

NISHATI ZA OFISI

title_682923fb156ff11800875451747526651
title_682923fb1584d704645831747526651
title_682923fb159927282378861747526651 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com