Menu

SOMO LA FIQHI


 somo lafiqhi


1. Kuoga, na kukaa mahali penye maji ili kupata baridi.

2. Kumeza mate na makohozi.

3. Kuonja chakula ili kujua kiwango cha sukari au chumvi yake kwa kutumia ulimi peke yake, kwa sharti asiingize chochote katika chakula hicho hadi kwenye koo.

4. Kunusa harufu ya manukato na visafisha hewa.

FAIDA

Matumizi ya mswaki kwa mtu aliyefunga
Yaruhusiwa kutumia mswaki kwa mtu aliyefunga wakati wowote ule, sawasawa iwe ni kabla ya kuzama kwa jua kwa kuingia jioni au baada ya hapo, na vilevile uwe mswaki wenyewe uko majimaji au mkavu, lakini anatahadharishwa aliyefunga ikiwa mswaki anaotumia uko majimaji kusije kukaingia chochote kooni wakati anapiga mswaki; kwa sababu kuingia kwa kitu kooni kunaharibu saumu yake.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575075
TodayToday3142
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 6

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_682927821776c562094561747527554
title_68292782178568607291911747527554
title_682927821794721454191621747527554

NISHATI ZA OFISI

title_6829278218f46561391971747527554
title_682927821903618003030801747527554
title_68292782191173186941631747527554 Add content here

HUDUMA MPYA

: 6 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com