Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Maelekezo
1. Ni juu ya Muislamu kutoingia kwenye zahma pamoja na wenye kutufu ili asijitie kwenye tabu yeye na kuwatia wenzake, katika kutaka kulisalimia jiwe jeusi ama kulibusu, na vilevile hata fanya raml kufanya haraka katika kuzunguka alkaba ikiwa atawaudhi wenye kufanya twafu.

2. Ataomba kwenye Twawafu kwa atakavo weza, na Twawafu haina Dua maluum isipokuwa yale yalio tanguliya, na lau atasoma Qur’ani katika Twawafu yake hakuna ubaya wowote kufanya hivyo.

3. Kufanya idhtibaa (kufungua bega) ni sunna katika Twawafu ya Umrah au Twawafu ya Quduum katika mizungu yote.

4. Na mwanamke ajiepushe kudhihirisha mapambo katika Twawafu yake na kujipaka manukato, na kuinuwa sauti katika kuleta dhikri na dua


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575025
TodayToday3092
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 26

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_682920522ecbf3412448801747525714
title_682920522ee042480342491747525714
title_682920522ef4012374600931747525714

NISHATI ZA OFISI

title_6829205230f7e10037581331747525714
title_68292052310a911315027741747525714
title_68292052311cf3535101861747525714 Add content here

HUDUMA MPYA

: 4 + 9 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com