Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Twawafu ya kuaga
Anae fanya haji akitaka kutoka Makka atafanya Twawaafu ya kuaga, nayo ni wajibu miongoni mwa wajibu za Hija, na hafanyi sai na hupomoka Twawafu ya kuaga kwa mwanamke menye Hedhi na Nifasi

Kuichelewasha Twawafu ya Ifaadha mpaka kwenye Twawafu ya Kuaga
Lau mwenye kufanya hija ataichelewesha Twawafu ya Ifaadha mpaka kwenye Twawafu ya kuaga yafaa kufanya hivyo lakini si bora kufanya hivyo, na itamtosheleza Twawafu ya ifaadha kwa sharti atie nia ya Ifaadha itamtosheleza na Twawafu ya kuaga hata kama atafanya sai baada yake.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575127
TodayToday3194
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 8

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68292eacd3e0f3800299341747529388
title_68292eacd3f6e7411854271747529388
title_68292eacd410116770196831747529388

NISHATI ZA OFISI

title_68292eacd62bc9194100731747529388
title_68292eacd641115363953591747529388
title_68292eacd65559595469331747529388 Add content here

HUDUMA MPYA

: 2 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com