Menu

KIPINDI CHA KUKATIKA KWA WAHYI


938


Ibni Saad amepokea kutoka kwa 'lbn Abbas maneno yaliyohusu "kukatika kwa Wahyi ambayo' kimsingi yanafahamisha kuwa kipindi hicho kilikuwa ni cha siku nyingi.  Baada ya uchunguzi wa kina imeonekana kuwa maelezo haya ndiyo yenye nguvu. 

Ama yale ambayo yametangaa miongoni mwa watu kuwa ukatikaji wa wahyi uliendelea kwa muda wote wa miaka mitatu au miaka miwili na nusu si kauli sahihi kwa hali zote, lakini hapa hatutoeleza suala hilo. 

Siku za kukatika kwa Wahyi zilikuwa ni za huzuni kubwa kwa Mjumbe wa Mwenyezi Mungu , zikiambatana na mastaajabu na mfadhaiko.*


*Arraheeq Al Makhtum Uk 107


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575402
TodayToday109
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 9

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68297532af4102833445941747547442
title_68297532af4fa1145341371747547442
title_68297532af5db11216794871747547442

NISHATI ZA OFISI

title_68297532b0bd113682418491747547442
title_68297532b0cb75085649641747547442
title_68297532b0d9e20548923851747547442 Add content here

HUDUMA MPYA

: 4 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com