Menu

KUCHUNGA MBUZI ﷺ


09


Mtume alikuwa hana kazi maalumu mwanzoni mwa ujana wake, isipokuwa imepokelewa kuwa alikuwa akichunga mbuzi kwa Banu Saad na mbuzi wengine wa watu wa Makka kwa malipo maalumnu.(1)

Na Manabii wote waliwahi kuchunga mbuzi,Asema Mtume :

 

ما بعث الله نبياً إلا رعى الغنمَ] فقال أصحابهُ: وأنت؟ قال : [ نعم، كنت أرعاها على قراريط لأهلِ مكةَ] رواه البخاري]

 

[Mwenyezi Mungu hakutumiliza Mtume ila alichunga Mbuzi,] wakasema Maswahaba je na wewe? akasema [Ndio nilikuwa nikichunga mbuzi kwa vijipeni kwa watu Makka]  [Imepokewa na Bukhari]

Nawanazuoni wameelezea hikma ya Manabii kuchunga mbuzi,ili waweze kuwa na unyeyekevu,na kustahimili katika kuwachunga wanyama hawa kwa kuweza kuwatafutia lisho bora,na kumchunga alie dhaifu katika wanyama hao,ipate kuwa ni kama chanzo cha kuweza kutahimili na majuku atakapokuwa amepewa utume na kuongoza binaadamu.


1) Ibnu Hisham, uzuu 1, Uk. 187-188


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6575395
TodayToday102
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 9

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68297532af4102833445941747547442
title_68297532af4fa1145341371747547442
title_68297532af5db11216794871747547442

NISHATI ZA OFISI

title_68297532b0bd113682418491747547442
title_68297532b0cb75085649641747547442
title_68297532b0d9e20548923851747547442 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 3 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com